
Kampeni zaendelea, vyama vitatu vikisuasua
Wakati Chama cha Demokrasia Makini kikizindua kampeni zake za uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kesho Jumanne, vyama vinne vimepishana na ratiba ya uzinduzi wa kampeni zao iliyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), huku Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kujinadi kwa wananchi.