Mgombea wa NCCR aomba kura za CCM

Mgombea wa NCCR aomba kura za CCM

Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Haji Hamisi amewataka Watanzania wakiwemo wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwapigia kura wagombea wa chama chake katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, ili kuleta mabadiliko ya kiuongozi na maendeleo ya kiuchumi nchini.